Page 128 - Arabic_F5
P. 128

Form Five



                                                                                  :ةجرـَّ تلا
                                                                                    ََ
                                                                                   ُ
                                                                                       ْ
              Afrika kwa sasa inajumuisha nchi huru hamsini na nne. Nyingi ya nchi hizi bado
              ziko kwenye mipaka iliyowekwa tangu enzi za ukoloni. Idadi kubwa ya nchi hizi
          FOR ONLINE READING ONLY
              ni jamhuri zinazofanya kazi chini ya aina fulani ya mfumo wa rais wa serikali.
              Licha  ya  hayo,  wachache  wao wameweza  kudumisha  mifumo  ya  utawala
              inayoungwa mkono na demokrasia.  Hii ni kwa sababu wengi wao walipitia
              msururu wa mapinduzi yaliyopelekea udikteta wa kijeshi. Jeshi lilionekana kuwa
              kundi  pekee  ambalo  lingeweza  kufanya  kazi  kwa  ufanisi  katika  kudumisha
              utulivu. Lakini halikufanikiwa katika hilo; Ubaguzi wa kikabila, migogoro ya
              vyeo, na ufisadi ni miongoni mwa sababu kuu za kurudi nyuma na kukosekana
              kwa utulivu wa ndani.


                                                                        ِ
                                              ِ
                                                       ِ
                             ِ
                                     ِ
                                                                                      ِ
                                                            ِ
              ِ حا َ ن  ىدم  حضوو  ةَّ ييِ وْ قـت  ةَّ يدْ قـن  ً ةءارق  ت ْ لا  َّ صَّ نلا  أرـْ قا  :2  بيردَّ تلا
                                                                                       ْ
                                   ً ْ َ ً
                                                 َ
                             ّ
                                                                                  ُ ْ
                 َ
                        َ
                                                                        َ
                       َ ْ ََ
                                                    َ َ َ
                                                                                     ِ
                                                                                   ِ
                                                                                  :مجرـتمْلا
                                                                                      ْ َُ
                                                                                    :ُّ صَّ نلا
              Shaaban  Robert  alizaliwa  Tanga  tarehe  1 Januari, 1909.  Alipata  umaarufu
              mkubwa katika taaluma ya fasihi na lugha ya Kiswahili katika bara la Afrika na
              dunia kwa ujumla. Aliandika fani nyingi za fasihi ya Kiswahili ikiwemo mashairi,
              riwaya, tamthilia. Inaonekana wazi kuwa hadi leo hakuna mtu aliyekitumikia
              Kiswahili  zaidi  yake. Alitumia  umahiri  wake wa kilugha  hasa ushairi  katika
              harakati za kupigania uhuru. Maandishi yake yalibeba maudhui za utu, nafasi ya
              mwanamke katika jamii, ukombozi wa Afrika, kukuza lugha ya Kiswahili, na
              maendeleo. Akiwa ameshafariki alitunukiwa tuzo ya fasihi iliyotukuka kutokana
              na mchango wake katika kuitumikia jamii ya Tanganyika na Tanzania kwa jumla.
              Shaaban Robert alifariki tarehe 20 Juni, 1962 kwa maradhi ya moyo na upungufu
              wa damu. Tunamuomba Mwenyezi Mungu amrehemu gwiji huyu wa fasihi ya
              Kiswahili na amlaze mahala pema peponi, amin.











          121         Arabic  for Advanced Secondary Schools             Student’s Book                                 Student’s Book



                                                                                            30/06/2024   17:58
     ARABIC LANGUAGE FORM FIVE.indd   121                                                   30/06/2024   17:58
     ARABIC LANGUAGE FORM FIVE.indd   121
   123   124   125   126   127   128   129   130   131   132   133