Page 132 - Arabic_F5
P. 132
Form Five
ِ
ِ ٍ
ِ ِ
ِ
َ لو ةصق ةَ لـيَ ل لك هَ ل يورـت تناك اهجوزـت امَ لـف .ّ ذفلا اهئاكَ ذب زـيمتــت دازرهش
ًَّ
َّ َ َّ َ
َ
ْ َّ ُ
َّ
َ ْ َ َ
َ
ََ ُ َ ْ َ
َ َ َ
ُ ْ ْ
َ
َ
ُ َ
َ
ِ
ِ
ِ ِ ِ
ِ
ِ ِ
ِ
َّ ِ
، ِ صصقْ لب ابجعم كلمـلا راصف .ةيلاَّ تلا ةَ لـيللا ف اهـتـياَ كح لصاوـت يك اهُ لمَ كت
ُ َ
َ
ُ
َ َ
ُ
ْ
َ ّ
َ َ َ
َ
َ
ًَ ُْ
َ
َ َ ْ
ِ
ِ
ِ
ِ
ٍ ِ
ٍ
ِ
ِ
ِ
ةَ لـيَ ل فْ لَأ ف ةصق فْ لَأ ِ صصقْ لا ددع لصو َّ تح اهـتـيان فرعـيل اهْ لـتقـي ملف
َّ
َْ َ ُْ
َ
ُ ََ َ َ َ َ َ َ َ
َ
ْ
َ
َ
َ ْ
َ
FOR ONLINE READING ONLY
ِ ِ
ِ
ِ ِ
ٍ
ِ
ِ
.اًّ ج ابــح دازرهش هتجوز بحَأو ،ءاسنلا هرك نم كلمـْ لا يفش ارـيخَأو .ةَ لـيَ لو
ُ َ َ ْ َ َُ َ َّ
ُ
ًّ
ّ
ُ
ْ ْ
َ
َ
َ
ُ ْ َ ْ َ
َ َ
َ
ً
َ
TAFSIRI
Mfalme Shahrayar alisalitiwa na mke wake wa kwanza, kwa hiyo alianza
kuwachukia wanawake wote, na akaapa kwamba atalipiza kisasi juu yao. Hivyo,
kila alipooa mwanamke, alimuua asubuhi ya usiku wa ndoa.
Wanawake wote walimwogopa mfalme isipokuwa Sheherazade, binti wa waziri
wa mfalme. Sheherazade alitofautiana na wanawake wengine kwa akili yake ya
kipekee. Alipomuoa, alikuwa akimsimulia hadithi kila usiku na hakumaliza ili
kuendelea na hadithi yake usiku uliofuata.
Mfalme alivutiwa na hadithi hizo, kwa hivyo hakumwua ili kujua mwisho wake
hadi idadi ya hadithi ikafikia hadithi elfu moja katika usiku elfu moja na moja.
Hatimaye, mfalme alipona maradhi yake ya kuwachukia wanawake, na
akampenda sana mke wake Sheherazade.
ِ
ِ
ِ ُّ
ِ
ِ ِ
:ةــَّ يـبرعـْلا ةـغللا َ لإ ت ْ لا َّ صـَّ نـلا مجرـت :2 جَ ذوـمـن
َ
َ
َ
ََ
ُ ْ ُ
ْ
ْ
Tangu zama za kale kumekuwa na harakati mbalimbali za wanadamu zenye lengo
la kuleta amani na utulivu duniani. Amani na utulivu ni matokeo ya uadilifu
ambao unamlinda mtu dhidi ya dhuluma na kumuhakikishia haki zake zote. Hadi
leo, mwanadamu ameshindwa kulifikia lengo hilo kutokana na kukosekana
uadilifu. Nchi zilizoendelea zinazinyonya zile zinazoendelea, na wenye vyeo
wanawaonea walio chini yao. Matokeo yake ni kuenea kwa maafa na majanga
katika pembe zote za dunia. Hakika wakati umefika kwa mwanadamu kuacha
kiburi na uadui kwani sote ni ndugu wa baba na mama mmoja.
:ةجرـَّ تلا
ََ
ُ
ْ
ِ ِ
ِ ِ ِ
ِ
ِ
ِ ِ
ِ ِ
ف رارقتس ْ لاو ِ نمَْ لا قيقحتل ةفلتم ةيناسنإ تاكرح كانه تناك مدقْ لا ُ ذنم
َ
ْ ْ َ ٌَ َُْ ٌَّ ْ ٌ َ
ْ
ْ
َُ ْ َ َ َ
َ ْ َ ْ
ُ
َ
َ
َ
ِ ِ ِ
ِ
ِ
ِ
ِ
ِ
ِ
َّ
ِ ُّ
نمضيو مْ لظلا نم ناسن ْ لإا يمي يذلا لدعْ لل ةجيتن رارقتس ْ لاو نمَْ لا .َ لاعْ لا
ْ
َ ْ
َ
ٌ َ
ْ
ْ
َ ْ ُ َ ْ َ ُ ْ
َ
َ
ْ ْ
َ
ُ َ ََ
َ
ْ
125 Arabic for Advanced Secondary Schools Student’s Book Student’s Book
30/06/2024 17:58
ARABIC LANGUAGE FORM FIVE.indd 125
ARABIC LANGUAGE FORM FIVE.indd 125 30/06/2024 17:58