Page 137 - Arabic_F5
P. 137

Form Five


               ِ
                                            ِ ِ
                                                           ِ
                                                      ِ
                                                                        ِ ِ
                                                                  ِ
                 ِ
                                                                                      ِ
                                      ِ
                        ِ ِ
              :ةَّ يبرعْلا  َ لإ تلا َّ صَّ نلا مجرت ةَّ يجوُ لوـنْ كتلا لئاسوْلا مادـخـتـسب   :2 بيردَّ تلا
                                                                                        ْ
                                                  ُْ ّ
                                                                                   ُ ْ
                                                                    َ ْ ْ
                  ََ
                                                             َ َ
                          َ
              Biashara  ndogondogo ni  muhimu  sana nchini  Tanzania.  Wawekezaji
              wadogowadogo hutoa asilimia kubwa ya ajira nchini, na ni wachangiaji muhimu
          FOR ONLINE READING ONLY
              katika pato la taifa. Kwa hiyo, ni dhahiri kwamba upanuzi wa sekta binafsi kupitia
              biashara  ndogondogo ni  muhimu  kwa utoaji  wa nafasi  za  kazi  na  ukuaji  wa
              uchumi nchini. Ustawi wa nchi yetu unategemea ukuaji wa biashara hizi, kupitia
              kwazo riziki hupatikana kwa njia halali.
              Kuna fursa kubwa kuziendeleza zaidi biashara hizi; kwani idadi ya watanzania
              kwa sasa ni zaidi ya milioni 61. Hata hivyo, gharama za uendeshaji wa biashara
              ni kubwa kutokana na upungufu wa miundombinu ya kuinua uwekezaji.
              Miundombinu ya uchukuzi haitoshi na upatikanaji wa mitaji bado ni changamoto.
              Biashara nyingi ndogondogo zinahitaji fedha zaidi ili ziweze kukua, lakini isivyo
              bahati mikopo ya benki ni ghali sana; kwa sababu ya viwango vya juu vya riba.

              Katika  mazingira  hayo,  biashara  chache  sana  zinaweza  kufanikiwa  kutimiza
              malengo yake. Kwa hiyo, tunaiomba serikali itoe msaada zaidi kwa wafanya

              biashara wadogowadogo kwa lengo la kukuza harakati za kiuchumi nchini.



                                                        ِ
                                                  ِ
                                   ِ ِ ِ
                                                                       ِ ِ
                                                                 ِ
                ِ ِ
                                                                                      ِ
                                 ِ
               َ لإ تلا َّ صَّ نلا مجرـت ةَّ يجوُ لوـنْ كتلا لئاسوْلا مادـخـتـسب :3 بيردَّ تلا
                                                                   َ ْ
                                                                                       ْ
                  َ                 َْ        ُْ ّ        َ َ            ْ        ُ ْ
                                                                                    ِ
                                                                                      ِ
                                                                                   :ةَّ يبرعلا
                                                                                       ََ
              Baada  ya  Vita  Vikuu  vya Kwanza  vya  Dunia  kumalizika,  mataifa  yaliunda
              chombo ambacho kilitarajiwa kuleta umoja na kudumisha amani duniani. Kwa
              upande mwingine,  sehemu iliyokuwa  ikitawaliwa  na  Wajerumani  Afrika
              Mashariki iligawanywa na kupatikana nchi tatu, ambazo ni Tanzania, Kenya na
              Uganda, na kuwekewa mipaka ipasavyo. Pamoja na Waingereza kuitawala Kenya
              kama koloni lao, pia walikabidhiwa madaraka ya kuisimamia Tanganyika kwa
              niaba  ya umoja  huo. Mwaka 1939 vilizuka  Vita  vya Pili  vya  Dunia wakati
              Waingereza wakiwa bado ni wasimamizi wa Tanganyika. Kiuhalisia, Wajerumani
              walikalia ardhi ya Tanganyika kwa kipindi cha miaka 27 na Waingereza kipindi
              cha miaka 42, jumla ya miaka 69 taifa lilikuwa chini ya wakoloni.








 Student’s Book     Student’s Book                      Arabic  for Advanced Secondary Schools  130



                                                                                            30/06/2024   17:58
     ARABIC LANGUAGE FORM FIVE.indd   130
     ARABIC LANGUAGE FORM FIVE.indd   130                                                   30/06/2024   17:58
   132   133   134   135   136   137   138   139   140   141   142