Page 82 - EDK_F5
P. 82

SURA YA TATU                                                            NGUZO ZA IMANI

                         ُّ   َ    َ  َ  ٗ ُ  َ  َ  ۡ  ۡ َ  َّ  ُ   َ ُ  َ    َّ  َ َ
                                                                   ٰ
                              ٰ
                    ٨يرِنم بتِك لو ىده لو ملِع يرغب ِللٱ  ِ ف لِدجي نم  ِ سالنٱ نِمو
                                                    ِ ِ
                                               ٖ
                      ٖ
                            ٖ
                Na katika watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya
                ilimu, wala uwongofu, wala Kitabu chenye nuru. (Al-Hajj, 22:8).
                             َ
                      َ
                                                                                 َ
                ۡ ُ ۡ َ َ َ ۡ َ    َ  ۡ   َ َ   َ َ َّ    َّ  ُ  َ  َ  َّ َ َ َّ  َّ  َ  ْ  ۡ َ ۡ  َ  َ
                                               ٰ ٰ
                مكيلع غبسأو  ِ ضرۡلٱ  ِ ف امو  ِ تومسلٱ  ِ ف ام مكل رخس للٱ نأ اورت ملأ
        FOR ONLINE READING ONLY
                                                                  ٗ
                   ٗ ُ  َ  َ  ۡ  ۡ َ  َّ    ُ  َ ُ   َ    َّ  َ َ َ    َ َ ٗ  َ  َ ُ َ َ
                                              ٰ
                                                                             ٰ
                ىده لو ملِع يرغب ِللٱ  ِ ف لِدجي نم  ِ سالنٱ نِمو  ۗ ةنِطابو ةرهظ ۥهمعِن
                          ٖ
                                                                            ِ
                               ِ ِ
                                                                          ُّ   َ   َ  َ
                                                                              ٰ
                                                                    ٢٠يرِنم بتِك لو
                                                                            ٖ
                                                                       ٖ
                Kwani hamwoni ya kwamba Mwenyezi Mungu amevifanya vikutumikieni
                viliomo mbinguni na kwenye ardhi, na akakujalizieni neema zake, za
                dhaahiri na za siri? Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu
                ya Mwenyezi Mungu pasipo elimu, wala uwongofu, wala Kitabu chenye
                nuru. (Luqman, 31:20)
        Kwa  mujibu wa aya hizi inadhihirika suala la kumuamini Allah (S.W) na kumuabudu
        ipasavyo ni suala  linalohitajia elimu na wale waliozama  katika  elimu ndio
        wanaomyakinisha na kumuabudu Allah (S.W) kwa upeo zaidi. Rejea Qur’an Fatir,
        35:27-28).
        Tano, mitume waliletwa kwa dalili zinazothibitisha kuwepo kwa Allah (S.W). Mitume
        walilingania watu juu ya Allah (S.W) kwa kutumia dalili mbali mbali na vitabu vya Allah
        (S.W) walivyoshushiwa.
                                                  ۡ
                                                                    َ
                                                                           ۡ
                َ ُ  َ  َ َ  ۡ  َ َ َ  ۡ  ُ ُ َ َ َ َ َ َ   َ ّ َ  ۡ  َ ُ ُ َ َ ۡ  َ  ۡ َ  َ
                                                           ٰ
                                   ٰ
                موق ِ ل  نايزِملٱو  بتِكلٱ  مهعم  النزنأو   ِ تنيلٱب  انلسر  انلسرأ  دقل
                                                                ِ
                                                             ِ
                                                ۡ
                                                                   َ
                                                                ۡ
                  َ
                َ ۡ َ       َّ  ُ َ َ َ ٞ  َ ٞ َ       َ   َ  ۡ  َ َ َ   ۡ  ۡ    ُ َّ
                    َ
                                  ٰ
                ملع ِ لو  ِ سانلِل عِفنمو ديِدش سأب ِهيِف ديِدلٱ النزنأو ِۖ طسِقلٱب سالنٱ
                                                                             ِ
                                                                َ
                                              َ
                                  ٞ   َ ٌّ  َ َّ  َّ    ۡ َ  ۡ  ُ ُ ُ َ ُ ُ ُ َ  َ ُ َّ
                               ٢٥زيزع يوق للٱ نِإ بيغلٱب ۥهلسرو ۥهصني نم للٱ
                                                     ِۚ
                                                            ِ
                                          ِ
                                    ِ
                Kwa hakika  tuliwatuma  Mitume  wetu  kwa  dalili  waziwazi, na
                tukateremsha Kitabu pamoja nao na Mizani, ili watu wasimamie uadilifu,
                na tumeteremsha chuma chenye nguvu nyingi na manufaa kwa watu, na
                ili Mwenyezi Mungu amjue anaye mnusuru Yeye na Mitume wake kwa
                ghaibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu Mwenye kushinda.
                (Al-Hadid, 57:25).
        Hivyo, hoja hizi tano zinathibitisha kwamba kumuamini Allah (S.W) si suala la kibubusa.
        Kwani kupitia tafakuri, hoja, elimu na utafiti, Allah (S.W) anaweza kubainika kupitia;
        umbile la mbingu na ardhi na vyote vilivyomo ndani yake, nafsi ya mwanadamu, historia
        ya mwanadamu, maisha ya mitume pamoja na mafundisho ya mitume.
                                                  72
   77   78   79   80   81   82   83   84   85   86   87