Page 83 - EDK_F5
P. 83

SURA YA TATU                                                            NGUZO ZA IMANI

        Athari ya nguzo za imani katika maisha







        FOR ONLINE READING ONLY






































                                Kielelezo namba 3.4: Nguzo za Imani.


        Uislamu ni dini iliyojengwa na nguzo za aina tatu, ambazo ni nguzo za Imani, nguzo za
        Uislamu na nguzo ya Ihsani.


        Kwa muktadha wa sura hii, zitaelezwa nguzo sita za Imani kama zinavyoonekana katika
        kielelezo namba 3.4.

        Muumini  wa kweli  anapaswa kuamini  nguzo  zote  hizi,  kama  zilivyobainishwa  katika
        Qur’an na Hadith za Mtume Muhammad (S.A.W), katika Qur’an nguzo tano za Imani
        zinabainishwa kama ifuatavyo:
                                           ۡ
                 َ َ َ ۡ َ َّ  ۡ  َّ  ٰ َ  َ  ۡ  َ َ  ۡ  َ  ۡ َ  َ ۡ ُ َ ُ ُ  ْ ُّ  َ  ُ  َ  َّ  ۡ  َ ۡ  َّ
                نماء نم بلٱ نِكلو برغملٱو قشملٱ لبِق مكهوجو اولوت نأ بلٱ سيل
                          ِ
                                                                             ِ
                                      ِ ِ
                                              ِ ِ
                                                                              ۡ
                                         َ ّ َّ َ   َ  ۡ  َ  َ  َ ۡ َ َ     ۡ َ َ َّ
                                                   ٰ
                                                              ٰٓ
                                  ١٧٧… نۧـيبلنٱو بتِكلٱو ِةكئلملٱو رِخلۡأٓٱ ِمولٱو ِللٱب
                                           ِ ِ
                                                  ِ
                                                                                    ِ
                                                             ِ
                                                                    ِ
                                                  73
   78   79   80   81   82   83   84   85   86   87   88