Page 5 - SayansiStd4
P. 5

Shukurani

              Taasisi ya  Elimu  Tanzania (TET)  inatambua na kuthamini
              mchango  muhimu  wa washiriki  kutoka taasisi  mbalimbali  za
              serikali  na zisizo  za serikali  zilizoshiriki  kufanikisha  uandishi
          FOR ONLINE READING ONLY
              wa kitabu hiki cha mwanafunzi. Kipekee, TET inatoa shukurani
              kwa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE),
              Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Chuo Kikuu cha Sokoine
              (SUA), Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU), Idara ya Uthibiti Ubora
              wa Shule, Vyuo vya Ualimu na Shule za Msingi. Pia, TET inatoa
              shukurani  za dhati kwa mchango  uliotolewa na wataalamu
              wafuatao:
              Waandishi:   Dkt.  Angela Rutakomozibwa,  Bi.  Irasaeny
                               Murro, Bi. Phorosia  Makhanda  na Bw. Joseph
                               Chamadali (TET), Dkt. Morice Tegeje (MU), Dkt.
                               Alex Nehemia (SUA), Bw. Mwanzo Lazaro (S/M
                               Mlimani) na Bw. Zephania Semeitei (MOTCO)

              Wahariri:         Dkt. Cyrus Rumisha (SUA), Dkt.  Aldo  Kitalika
                               (DUCE), Dkt. Almasi Maguya (MU), Dkt. Emmanuel
                               Sulungu na Dkt Fabiola Hassan (UDOM)

              Msanifu:         Bw. Katalambula Faraji

              Mchoraji:   Bw. Fikiri Msimbe (TET)

              Mratibu:         Bw. Joseph Chamadali (TET)

              Vilevile, TET inatoa shukurani kwa walimu wote wa shule za
              msingi na wanafunzi walioshiriki katika ujaribishaji wa kitabu
              hiki. Mwisho, TET inaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano
              wa Tanzania kwa kutoa fedha zilizofanikisha kazi ya uandishi
              na uchapaji wa kitabu hiki.







              Dkt. Aneth A. Komba

              Mkurugenzi Mkuu

              Taasisi ya Elimu Tanzania




                                                    iv



                                                                                            14/01/2025   18:38
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   4
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   4                                    14/01/2025   18:38
   1   2   3   4   5   6   7   8   9   10