Page 5 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 5
Fasihi ya Kiswahili Shule za Sekondari
Shukurani
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inatambua na kuthamini mchango
muhimu wa washiriki kutoka taasisi mbalimbali za umma na binafsi
FOR ONLINE READING ONLY
walioshiriki kufanikisha uandishi wa kiongozi hiki cha mwalimu.
Pia, TET inatoa shukurani za dhati kwa mchango uliotolewa na
wataalamu wafuatao:
Waandishi: Bi. Janeth G. Joseph na Bi. Monica W. Manyanga
Wahariri: Prof. Kulikoyela Kahigi na Dkt. Angelus J. Mnenuka
Msanifu: Bw Katalambula F. Hussein
Mratibu: Bi. Monica W. Manyanga
Vilevile, TET inatoa shukurani kwa walimu wote wa shule za
sekondari walioshiriki katika ujaribishaji wa kitabu hiki. Mwisho, TET
inaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa
fedha zilizofanikisha kazi ya uandishi na uchapaji wa kitabu hiki.
Dkt. Aneth A. Komba
Mkurugenzi Mkuu
Taasisi ya Elimu Tanzania
Kiongozi cha Mwalimu v
Kidato cha Tano
23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 5 23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 5