Page 88 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 88
Fasihi ya Kiswahili Shule za Sekondari
Majibu
Majibu ya shughuli ya 6.12 yatatokana na uelewa wa mwanafunzi na
diwani teule atakazozichambua. Katika shughuli hii, ongoza jopo la
tathimini kusahihisha kwa kuzingatia vigezo vilivyoandaliwa.
FOR ONLINE READING ONLY
Zingatia
Kuwaelekeza wanafunzi kufanya kazimradi inayohusiana na uwanja wa
fasihi na kuandika ripoti atakayoikusanya kwa ajili ya kusahihishwa.
Kazi hii inaweza kufanyika wakati wa likizo kabla ya kuhitimu Kidato
cha Tano. Kumbuka kazi hii ni ya lazima katika kukamilisha
ujifunzaji wa somo hili.
82 Kiongozi cha Mwalimu
Kidato cha Tano
23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 82 23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 82