Page 170 - EDK_F5
P. 170
SURA YA TANO KUFASIRI QUR’AN
kuleta sheria ya mirathi ya Kiislamu kwa watoto wetu, na hiyo ndio ilikuwa sababu ya
kushuka kwake.
Swali alilouliza Mtume Muhammad (S A W) mwenyewe; katika tukio jingine,
Mtume Muhammad (S.A.W) aliuliza swali na hatimaye iliteremshwa aya ya 64 ya
FOR ONLINE READING ONLY
Surat Maryam,kujibu swali hilo, kama anavyosimulia Ibn Abbas (R.A) kuwa: Mtume
Muhammad (S.A.W) alisema, “alimuuliza Jibril (A.S), kitu gani kinakuzuia wewe kuja
kututembelea mara kwa mara? Kwa sababu hiyo ikashuka aya: Na hakika sisi (Malaika)
hatushuki isipokuwa kwa amri ya Mola wetu. Hakika Yeye ndiye anaemiliki yaliyopo
mbele yetu na nyuma yetu...” Surat Maryam, 19:64 (Bukhar, VI, Na.255)
Hoja au swali la jumla katika jamii; katika matukio kadhaa wahyi ulishuka kutoa
mwongozo kuhusu maswali au hoja za jumla za kijamii zilizoibuka katika umma wa
Kiislamu, anasimulia Thabit kutoka kwa Anas (R.A), ilikuwa katika jamii ya Wayahudi
mwanamke akiwa katika hedhi, hawachanganyiki nae, wala hawaishi nae nyumba moja;
Maswahaba (R.A) wakamuuliza Mtume Muhammad (S.A.W) kuhusu hilo, Allah (S.W)
akateremsha aya ifuatayo: “Na wanakuuliza kuhusu hedhi; sema hiyo ni adha, kwa hiyo
jiepusheni nao wakiwa katika hali hiyo...” (Surat Baqara, 2:222). Mtume Muhammad
(S.A.W) akasema; fanyeni nao mambo yote isipokuwa jimai. (Muslim, I, Na. 592).
Simulizi hii pia ni mfano mzuri wa Tafsir ya Mtume Muhammad (S.A.W) katika Qur’an
baada ya kuulizwa.
Swali au hoja ya mtu mmoja; sheria nyingi za jumla ambazo zimeelezwa katika
Qur’an zililetwa kama majibu ya mambo yaliyojitokeza katika jamii au majibu ya swali
lililoulizwa na mtu binafsi. Mfano kushuka kwa aya katika Surat Baqara, 2:196
ۡ
ْ ُ ۡ َ َ َ ۡ َ ۡ َ َ َ ۡ َ ۡ َ َ ۡ ُ ۡ ۡ ُ ۡ َ َّ َ َ ۡ ُ َ َّ َ ۡ ْ ُّ َ َ
اوقِلت لو ِۖ يدهلٱ نِم سيتسٱ امف مت ِ صحأ نإف ِۚ ِلل ةرمعلٱو جلٱ اومِتأو
ِ
ُ
ّ ٗ َ ٓ ۡ َ ً َّ ُ َ َ َ َ ُ َّ َ ُ ۡ َ ۡ َ ۡ َ َّ َ ۡ ُ َ ُ ُ
ٰ
نِم ىذأ ۦِهب وأ اضيرم مكنِم نك نمف ۚ ۥهلِم يدهلٱ غلبي تح مكسوءر
ِ
ِ
َ َ ۡ ُ ۡ َ َّ َ َ َ َ ۡ ُ َ ٓ َ َ ُ ۡ َ َ َ َ ۡ َ َ ّ َ ۡ َ ۡ َّ
ُ
ٞ
لِإ ِةرمعلٱب عتمت نمف متنِمأ اذإف ٖۚ كسن وأ ٍةقدص وأ ٍماي ِ ص نِم ةيدِفف ۦِهِسأر
ِ
ِ
َ َ ۡ َ َ ّ َ ۡ َّ َ َ َ َ ُ َ َ ۡ َ َّ َ َ ۡ َ ۡ َ َ َ ۡ َ ۡ َ َ ّ َ ۡ
ۡ
ٰ
ِ
اذِإ ٍةعبسو ِ جلٱ ِ ف ٖمايأ ِةثلث ماي ِ صف دي مل نمف ۚ ِ يدهلٱ نِم سيتسٱ امف ِ جلٱ
َ
ۡ ۡ َ ۡ َ ُ ۡ ۡ ُ َ ۡ َّ َ َ َ ٞ َ َ ٞ َ َ َ ۡ ۡ ُ ۡ َ َ
ُ
َ
َ َ
ٰ
ِ
ۚمارلٱ ِدجسملٱ ي ِ ضاح ۥهلهأ نكي مل نمِل كِلذ ۗ ةلِمك ةشع كلِت ۗمتعجر
ِ
ِ
ٓ ُ ۡ َ َ َّ
َ ۡ ُ َ َ َّ َّ َ ْ َ ْ ُ َّ َ
١٩٦ باقِعلٱ ديِدش للٱ نأ اوملعٱو للٱ اوقتٱو
ِ
Na timizeni Hija na Umra kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Na mkizuiwa,
basi chinjeni wanyama walio wepesi kupatikana. Wala msinyoe vichwa
vyenu mpaka wanyama hao wafike machinjoni mwao. Na atakayekuwa
160