Page 167 - EDK_F5
P. 167

SURA YA TANO                                                           KUFASIRI QUR’AN
        iliyoandikwa mwanzoni na Imam Jalaluddin Al-Mahalli, aliyefariki mwaka 864 H na
        baadaye kumaliziwa na Imam Jalaluddin Suyutwi, aliyezaliwa mwaka 849 H. Zingine

        zilizoandikwa katika zama za karibuni na pamoja na Tafhim Al-Qur’an ya Sayyid Abu
        A’la Mawdud  na Fi-Dhilal Al-Qur’an ya Sayyid Qutb.

        FOR ONLINE READING ONLY

































            Kielelezo namba 5.4: Tafsir ya Imam Fakhruddin Al-Razi (Al-Tafsir al-Kabir)


         Zoezi la 5 2

         1.  Bainisha tofauti nne kati ya Tafsir Bil Maathur na Tafsir Bil Ray
         2.  Toa hoja  tano kuthibitisha  stahiki ya  Tafsir Bil Maathur kuwa katika  ngazi ya
             kwanza

         3.  Bainisha mambo matano yakipekee kuhusu Tafsir Bil Ray

        Sababun nuzuul

         Kazi ya 5 3

         Katika vikundi  someni matini ifuatayo kisha mueleze maana ya Sababun nuzuul na
         umuhimu wake katika kuifasiri Qur’an

        Qur’an imeteremshwa kuongoza watu katika muda na hali zote. Hata hivyo, baadhi ya
        aya zake ziliteremshwa baada ya matukio fulani yaliyojitokeza katika wakati au zama
        zilizopita. Neno sabab, ambalo wingi wake ni Asbaab ni neno la Kiarabu, lenye maana
                                                 157
   162   163   164   165   166   167   168   169   170   171   172