Page 10 - Fasihi_Kisw_F5
P. 10

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari



                                              Shukurani


              Taasisi ya Elimu Tanzania  (TET) inatambua  na kuthamini  mchango muhimu
              wa washiriki kutoka taasisi mbalimbali  zilizoshiriki  kufanikisha uandishi wa
              kitabu hiki cha mwanafunzi. Kipekee TET inatoa shukurani kwa Chuo Kikuu
          FOR ONLINE READING ONLY
              cha Dodoma (UDOM), Chuo Kikuu cha Mtakatifu John’s (SJUT) na Chuo Kikuu
              Mzumbe (MU). Pia, TET inatoa shukurani za dhati kwa mchango uliotolewa na
              wataalamu wafuatao:

              Waandishi:    Prof. Fikeni E.M.K. Senkoro, Dkt. Athumani S. Ponera, Dkt Adria
                            N. Fuluge, Bw. Jailan M. Hafidh, Bi. Asia M. Akaro, Bi. Janeth G.
                            Joseph, na Bi. Monica W. Manyanga.


              Wahariri:       Prof. Kulikoyela Kahigi, Dkt. Angelus J. Mnenuka na Dkt.
                            Tumaini J. Sanga


              Msanifu:      Bw. Katalambula F. Hussein

              Mchoraji:     Bw. Hance E. Wawar

              Mratibu:      Bi. Monica W. Manyanga





              Vilevile,  TET inatoa  shukurani  kwa walimu  na  wanafunzi  wote wa shule
              za sekondari walioshiriki katika ujaribishaji  wa kitabu hiki. Mwisho,  TET
              inaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha
              zilizofanikisha kazi ya uandishi na uchapaji wa kitabu hiki.











              Dkt. Aneth A. Komba

              Mkurugenzi Mkuu


              Taasisi ya Elimu Tanzania






                     Kitabu cha Mwanafunzi                                            ix
                        Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   9                     23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   9
   5   6   7   8   9   10   11   12   13   14   15