Page 7 - Historia_Maadili
P. 7

Shukurani




          Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inatambua na kuthamini mchango muhimu wa
          washiriki kutoka taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za kiserikali zilizoshiriki
        FOR ONLINE READING ONLY
          kufanikisha uandishi wa kitabu hiki cha mwanafunzi.  Kipekee, TET inatoa shukurani
          kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Dodoma, Chuo Kikuu cha
          Taifa cha Zanzibar, Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika na Taasisi ya
          Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).


          Vilevile, TET inatoa shukurani za dhati kwa mchango uliotolewa na wataalamu
          mbalimbali kama ifuatavyo:


          Waandishi:  Dkt. Jerome S. Machange, Bw. Bonaventura A. Bazira, Bw. Gwido

                        Kalobona na Bi. Sophia J. Amasi

          Wahariri:     Dkt. George K. Ambindwile, Dkt. Abdallah R. Mkumbukwa na
                        Dkt. Valerius W. Mjuni

          Msanifu:      Bi. Rehema A. Hamisi


          Mchoraji:     Bw. Hance E. Wawar

          Mratibu:      Dkt. Jerome S. Machange





          Aidha, TET inatoa shukurani kwa walimu wote wa shule za sekondari walioshiriki
          katika ujaribishaji wa kitabu hiki. Mwisho, TET inaishukuru Serikali ya Jamhuri
          ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa rasilimali fedha iliyofanikisha uandishi na
          uchapaji wa kitabu hiki.







          Dkt. Aneth Komba

          Mkurugenzi Mkuu

          Taasisi ya Elimu Tanzania





                                                 vii




                                                                                        03/10/2024   18:15:05
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   7
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   7                                          03/10/2024   18:15:05
   2   3   4   5   6   7   8   9   10   11   12