Page 8 - EDK_F5
P. 8

UTANGULIZI




                                            Shukurani


               ifa zote njema anastahiki Allah (S.W) aliye Bwana Mlezi wa walimwengu wote.
               Rehema na Amani zimwendee Mtume Muhammad (S.A.W) ahali zake pamoja na
        FOR ONLINE READING ONLY
        Swale wote waliofuata na wanaofuata mwenendo wake hadi siku ya mwisho.


        Jumuiya ya Ufundishaji wa Masomo ya Kiislamu Tanzania (TISTA) inawashukuru wadau
        wote walioshiriki katika kuandaa kitabu hiki cha Elimu ya Dini ya Kiislamu Kidato cha
        Tano  kuanzia hatua ya awali hadi kukamilika kwake.


        TISTA inatoa shukurani za pekee kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  kupitia
        Taasisi ya Elimu Tanzania kwa  kutoa fedha kwa ajili ya kuandaa kitabu hiki.

        TISTA inatoa shukurani  za pekee kwa watu wafuatao, walioshiriki kuratibu, kuandika,

        kuhariri, kuandaa  michoro na kusanifu kitabu hiki:

        Waratibu :   Shafii H. Masudi (Chuo cha  Ualimu Ubungo Islamic)


                       Ally A. Ally  (BAKWATA), Khamis A. Mohammad (BAKWATA)

        Waandishi :  Dkt. Nawaje A. Mganga (Chuo Kikuu cha Abdulrahman Al-Sumait,
                       Zanzibar),  Mfaume  H. Nzogera, (Chuo cha Ualimu Korogwe),

                       Swabrudin  B. Tibiita  (Bagamoyo Professional College), Ali M. Hassan
                       (Ofisi ya Mufti Mkuu Zanzibar),  Saidi  R. Mangi  (Ubungo  Islamic
                       High  School.), Ally N. Mohamed (NECTA)


        Wahariri:      Dkt. Abdallah Y. Tego (Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro)
                       Dkt. Mohamed  S. Same (Chuo cha Kiislamu Zanzibar)

        Mchoraji:      Omari  M. Kwalo


        Msanifu:       Mohamed  A. Maupa





        Mohamed R Kassim
        MWENYEKITI
        Jumuiya ya Ufundishaji wa Masomo ya Kiislamu Tanzania (TISTA)


                                                  vi
   3   4   5   6   7   8   9   10   11   12   13