Page 11 - EDK_F5
P. 11

SURA YA KWANZA                                                   ELIMU KATIKA UISLAMU







                                  Sura ya kwanza

        FOR ONLINE READING ONLY

                           Elimu katika Uislamu


        Utangulizi


                limu ni utambulisho wa dini ya Uislamu kwa kuwa ndio ufunuo wa kwanza
                kumshukia Mtume Muhammad  (S.A.W). Hivyo, Muislamu analazimika
        Ekutafuta elimu kwa juhudi kubwa, kwani hawezi kutekeleza Uislamu kikamilifu
        pasi na elimu. Katika sura hii utajifunza kutofautisha maana na malengo ya elimu baina
        ya Uislamu na itikadi nyingine. Kisha, utajifunza kubainisha nafasi na umuhimu wa
        elimu. Pia, utajifunza kubainisha dhana potofu kuhusu elimu na athari zake. Vilevile,
        utajifunza kuchambua mchango wa Waislamu katika taaluma. Inategemewa kuwa baada
        ya kumaliza sura hii utaweza kuishi kwa mujibu wa itikadi ya Uislamu.







































                                 Kielelezo namba  1.1: Safari ya elimu.

                                                   1
   6   7   8   9   10   11   12   13   14   15   16