Page 168 - Historiayatznamaadili
P. 168

Alama za Taifa ni alama muhimu katika utambulisho wa Taifa.
              Alama hizi zinapaswa kuheshimiwa na kutumika kwa usahihi
              kulitambulisha Taifa letu. Kuheshimu alama za Taifa ni kitendo

              cha uzalendo.
          FOR ONLINE READING ONLY


                        Zoezi la jumla


               1.  Taja alama za Taifa____________


               2.  Kuna umuhimu gani wa kuwa na alama za Taifa kwa nchi?


               3.  Je, kuna umuhimu gani wa kuheshimu alama za Taifa?

               4.  Eleza umuhimu wa sikukuu za Kitaifa nchini.


               5.  Fafanua maana ya rangi zilizopo katika Bendera ya Taifa.


               6.  Andika hatua utakazochukuwa iwapo:


                     (i)  Utapita eneo ambalo Bendera ya Taifa inashushwa
                           muda huo;


                     (ii)  Wimbo wa Taifa unaimbwa;


                     (iii)  Utakutana na watu wanachana fedha za Taifa;


                     (iv)  Utaalikwa kwenye sherehe za kimataifa na utahitajika
                           kubeba alama ya utambulisho wa Taifa lako; na


                     (v)  Mwenge wa Uhuru utawashwa katika eneo unaloishi.
















                                                   161




                                                                                          06/11/2024   11:30:26
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   161                                    06/11/2024   11:30:26
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   161
   163   164   165   166   167   168   169   170