Page 165 - Historiayatznamaadili
P. 165

Fedha ya Tanzania
              Fedha ni alama muhimu inayolitambulisha Taifa letu. Mara
              baada ya kupata uhuru, Tanzania ilianza kutumia fedha zake.
              Fedha hizi zipo katika sarafu na noti. Aidha, fedha hizi zina alama
          FOR ONLINE READING ONLY
              kadhaa kwa ajili ya utambulisho wa historia ya nchi na rasilimali
              zilizopo. Kielelezo namba 6, kinaonesha baadhi ya sarafu na noti
              zilizotumika awali nchini.






















                    Kielelezo namba 6: Sarafu na noti zilizotumika zamani nchini
              Aidha, tangu nchi ipate uhuru kumekuwa na mabadiliko ya
              sarafu na noti zinazotumika nchini. Hii inatokana na mabadiliko
              ya uchumi yanayotokea mara kwa mara nchini. Kwa sasa, fedha

              za Tanzania ni tofauti na zilizopo katika kielelezo namba 6.
              Kielelezo namba 7, kinaonesha fedha zinazotumika kwa sasa.























                   Kielelezo namba 7: Sarafu na noti za fedha zinazotumika sasa


                                                   158




                                                                                          06/11/2024   11:30:26
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   158                                    06/11/2024   11:30:26
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   158
   160   161   162   163   164   165   166   167   168   169   170