Page 162 - Historiayatznamaadili
P. 162
Rangi ya njano inawakilisha uwapo wa rasilimali za madini nchini.
Kimsingi alama ya bendera ni utambulisho wa Taifa huru, watu
wake, maliasili zilizopo na utajiri wa nchi ya Tanzania.
Wimbo wa Taifa la Tanzania
FOR ONLINE READING ONLY
Wimbo wa Taifa ni alama inayotambulisha Taifa la Tanzania.
Kielelezo namba 3, kinaonesha wimbo wa Taifa.
Mungu Ibariki Afrika, Wimbo huu huimbwa katika
Wabariki Viongozi Wake, matukio muhimu ya Kitaifa
Hekima, Umoja na Amani, ndani na nje ya mipaka ya
Hizi ni Ngao Zetu, Tanzania. Matukio hayo ni
Afrika na Watu Wake. pamoja na: Rais akihutubia
Ibariki, Afrika, Taifa, Rais akihutubia Bunge,
Ibariki, Afrika, misiba ya Kitaifa, matukio
Tubariki Watoto wa Afrika. ya Kitaifa kama michezo na
ziara za Kitaifa zinazohusisha
Mungu Ibariki Tanzania,
Dumisha Uhuru na Umoja, viongozi wakuu wa nchi na nje
Wake kwa Waume na ya nchi.
Watoto, Wimbo huu huimbwa kwa ajili
Mungu Ibariki, ya kuiombea nchi ya Tanzania
Tanzania na Watu Wake, na Bara la Afrika baraka na
Ibariki, Tanzania, amani. Pia, unasisitiza uwepo
Ibariki, Tanzania, wa amani, upendo na umoja
Tubariki, Watoto wa kwa watu wa Tanzania, bila
Tanzania. ya kujali jinsi, rangi wala hali
Kielelezo namba 3: ya mtu.
Wimbo wa Taifa
Wimbo huu unapoimbwa kila mtu anapaswa kusimama wima
na kutulia. Hii hufanyika ili kuonesha heshima na nidhamu kwa
wimbo huu wa Taifa, kwa sababu ni alama kuu ya Taifa. Wimbo
huu hutumika kwa matukio rasmi ya Kitaifa. Ni marufuku kutumia
wimbo wa Taifa kwa matumizi yasiyo rasmi.
155
06/11/2024 11:30:25
Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd 155
Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd 155 06/11/2024 11:30:25