Page 159 - Historiayatznamaadili
P. 159

Kazi ya kufanya namba 1

                           Soma matini mbalimbali, ikiwamo mitandao ya jamii

                           kuhusu alama za Taifa la Tanzania, kisha ainisha
                           alama hizo.
          FOR ONLINE READING ONLY
                                                                                           .

              Alama za Taifa ni pamoja na Bendera ya Taifa, Nembo ya Taifa,

              Wimbo wa Taifa, Mwenge wa Uhuru, Mnyama Twiga, Fedha
              za Tanzania na Sikukuu za Kitaifa. Alama hizi hutumika katika
              taarifa na matukio mbalimbali kutambulisha Tanzania kitaifa na
              kimataifa.


              Nembo ya Taifa


              Nembo ya Taifa, pia hujulikana kama Ngao ya Taifa. Hii ni
              mojawapo ya alama kuu ya utambulisho wa Taifa. Kielelezo
              namba 1, kinaonesha nembo ya Taifa.


































                               Kielelezo namba 1: Nembo ya Taifa.





                                                   152




                                                                                          06/11/2024   11:30:25
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   152                                    06/11/2024   11:30:25
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   152
   154   155   156   157   158   159   160   161   162   163   164