Page 94 - Jiografia_Mazingira
P. 94

17. Eleza vitu unavyopaswa kuviangalia kwenye ramani ili kukusaidia
               kufika sehemu ambayo ni mara yako ya kwanza kufika.

          Sehemu C:

          18.  Oanisha maneno yaliyopo safu A na yale ya safu B kupata
        FOR ONLINE READING ONLY
             maana kamili.


          Na. Safu A                     Safu B

            (i)  Katografia              (a) kivuli huwa upande wa Magharibi.




            (ii)  Husaidia kubaini       (b) inaonesha nchi, mikoa, wilaya pamoja

                 uelekeo kwenye              na mipaka yake.
                 ramani




           (iii) Alama za ramani         (c) kuwakilisha umbali kwenye ramani na
                                             umbali halisi ardhini.




           (iv) Kuchora ramani za  (d) husaidia kubaini njia kwa ajili ya safari.
                 kidijitali




            (v) Ufunguo                  (e) Inaonesha vipengele vya hali ya hewa
                                             kama mvua, na joto.




           (vi) Ramani sahili            (f) uchoraji wa ramani kwa kutumia
                                             progamu za kompyuta.




           (vii) Ramani ya kisiasa (g) taaluma inayohusu uchoraji wa ramani.











                                                 87



                                                                                          31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   87
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   87                                           31/10/2024   19:19
   89   90   91   92   93   94   95   96   97   98