Page 89 - Jiografia_Mazingira
P. 89

(a) ufunguo, kichwa cha ramani, chanzo

              (b) alama, rangi na teknolojia ya mfumo wa taarifa za kijiografia

              (c) programu maalumu

              (d) dira na skeli
        FOR ONLINE READING ONLY
          3.  Iwapo umbali kutoka Kituo A mpaka B kwenye ramani ni Sm 50
             na skeli ni 1:100000, je umbali halisi ardhini ni kilometa ngapi?

              (a) Kilometa 5

              (b) Kilometa 25

              (c) Kilometa 50

              (d) Kilometa 100

          4.  Sehemu za mabonde kwenye ramani huoneshwa kwa
             kutumia___________________.

              (a) mistari ya kontua iliyopinda kuelekea ndani

              (b) mistari ya kontua iliyokaribiana sana

              (c) mistari ya kontua iliyombalimbali

              (d) mstari ya kontua iliyonyooka

          5.  Mara nyingi rangi ya bluu kwenye ramani inawakilisha nini?

              (a) Vyanzo vya maji kama mito na maziwa

              (b) Misitu

              (c) Milima
              (d) Majengo


          B. Maswali ya kuoanisha

          6.  Oanisha maneno yaliyopo katika safu A na yale ya safu B kupata
             maana kamili

          Na. Safu A                  Safu B
           (i)   Alama ya ncha  (a) Husaidia kufanya maamuzi sahihi ya

                 ya Kaskazini            usimamizi wa rasilimali za nchi.




                                                 82



                                                                                          31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   82
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   82                                           31/10/2024   19:19
   84   85   86   87   88   89   90   91   92   93   94