Page 90 - Jiografia_Mazingira
P. 90

(ii)  Kontua               (b) Huathiri maisha ya viumbe hai


           (iii)  Vidoti              (c) Hutumika kubaini upungufu wa pembejeo
                                         nchini.


           (iv)  GIS                  (d) Hutumika kuonesha miteremko mikali na
        FOR ONLINE READING ONLY
                                         ya wastani katika ramani.


           (v)   Mipaka         ya (e) Hutumika kuonesha mtawanyiko wa watu.
                 kiutawala
                                      (f) Kubaini uelekeo na mahali kwenye ramani.


                                      (g) Mfumo wa taarifa za kijiografia.



          Maswali ya majibu mafupi

          7.  Eleza namna mistari ya kontua inavyoonekana katika ramani

             kuonesha maumbo ya sura ya nchi yafuatayo;

              (a) Mteremko mkali;

              (b) Tambarare; na
              (c) Bonde.


          8.  Eleza jinsi unavyoweza kutumia ramani kupanga safari ya
             kutembelea hifadhi za taifa.

          9.  Utawezaje kubaini uelekeo kwa kutumia ramani?

          10.  Utawezaje kubaini umbali halisi kwa kutumia ramani?

          Msamiati


                             Ni mistari inayochorwa kwenye ramani kuunganisha
          Kontua:
                             sehemu zilizo na kimo sawa kutoka usawa wa bahari.



                             Ni mfumo unaotumia satelaiti kutambua mahali
          GPS:
                             halisi ambapo vitu mbalimbali vinapatikana duniani







                                                 83



                                                                                          31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   83
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   83                                           31/10/2024   19:19
   85   86   87   88   89   90   91   92   93   94   95