Page 108 - Historia_Maadili
P. 108

Kazi ya kufanya 6.4

            Kwa kutumia vifaa vya TEHAMA, sikiliza hotuba kuhusu Mapinduzi Matukufu
            ya Zanzibar mwaka 1964, kisha jibu maswali yafuatayo:
        FOR ONLINE READING ONLY
            1.  Umejifunza nini kutokana na hotuba uliyosikiliza?

            2.  Je, viongozi wa sasa wanaweza kujifunza nini kutoka kwa Mapinduzi ya
               mwaka 1964 katika kuzilinda na kuzitetea haki za raia?




                                    Zoezi la  marudio




            1.  Kwa kutumia mifano, jadili sababu za kufanyika kwa Mapinduzi Matukufu
                ya Zanzibar.

            2.  Ni kwa nini uhuru wa Desemba 10 mwaka 1963 wa Zanzibar uliitwa uhuru
                wa bandia?

            3.  Jadili athari za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika muundo wa kijamii
                na kisiasa wa Zanzibar.

            4.  Fafanua maadili yaliyojengwa kutokana na Mapinduzi Matukufu ya
                Zanzibar.


            5.  Ni kwa namna gani Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar  yamechochea
                Muungano wa Tanganyika na Zanzibar?

            6.  Eleza  mchango  wa vyama vya michezo  katika  Mapinduzi  Matukufu  ya
                Zanzibar.

            7.  Pendekeza njia mbalimbali zinazoweza kutumiwa katika kulinda Mapinduzi
                Matukufu ya Zanzibar.
















                                                 100




                                                                                        03/10/2024   18:15:20
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   100
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   100                                        03/10/2024   18:15:20
   103   104   105   106   107   108   109   110   111   112