Page 105 - Historia_Maadili
P. 105

wa kitaifa. Mapinduzi ndiyo yalifungua njia ya utambulisho wa taifa linaloongozwa
          kwa misingi ya uhuru, haki na demokrasia. Ili kufanikisha azma hii, mnamo tarehe
          21 Januari 1964, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Mwenyekiti
          wa Baraza la Mapinduzi, Sheikh Abeid Amani Karume, alitangaza wajumbe 29 wa
          Baraza la Kwanza la Mapinduzi Zanzibar. Baraza hili lilikuwa na jukumu la kuunda
          upya taifa lenye umoja, haki na kuondoa ubaguzi uliokuwa umeota mizizi kwa miaka
        FOR ONLINE READING ONLY
          mingi visiwani Zanzibar. Kielelezo 6.3 kinaonesha wajumbe wa Baraza la Kwanza
          la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.


























































                 Kielelezo 6.3: Baraza la Kwanza la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mwaka 1964



                                                  97




                                                                                        03/10/2024   18:15:20
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   97
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   97                                         03/10/2024   18:15:20
   100   101   102   103   104   105   106   107   108   109   110