Page 46 - EDK_F5
P. 46

SURA YA PILI                                                    ITIKADI KATIKA UISLAMU









                                       Sura ya pili
        FOR ONLINE READING ONLY


                           Itikadi katika Uislamu





        Utangulizi


                  wa kawaida, kila mtu huwa na tabia ya kushikilia kitu fulani moyoni au akilini
                  mwake. Kitu hicho mbele ya macho ya wengine, kinaweza kuwa na thamani au
         Kkisiwe na thamani, hilo si muhimu kwa mtazamo wa mhusika. Kwa kuwa mtu
         ameshaamua kushikilia mawazo, fikra au maono fulani, huwa hana budi ila kuyaamini
         na kuyafuata, maishani mwake. Aghalabu, mtu huyo akiamini na kufuata fikra fulani,
         huwa ni vigumu kubadilika, hivyo, jambo hilo linaitwa itikadi.

         Kwa maana  hiyo, itikadi  ni msimamo  wa mtu  juu ya maarifa  ya kitu fulani,  kwa
         kukiamini na kukikubali kwa mtazamo wake, sawa kiwe na usahihi au makosa. Katika
         Sura hii, utajifunza kuhusu tofauti kati ya itikadi ya Uislamu na itikadi nyingine na
         athari zake. Baada ya kujifunza sura hii, unatarajiwa kupata umahiri wa kuthibitisha
         usahihi wa itikadi ya Uislamu.


        Tofauti za kiitikadi

         Kazi ya 2 1

         Shirikiana na wanafunzi wenzako kusoma aya hii, kisha jibu maswali yanayofuata:


                 َّ     ۡ ُ َ  ُ َّ  ۡ  ُ ۡ َ  َ  َ َ ّ  ۡ  َ  ُ ۡ  ُّ  َ َّ َ َّ َ  ّ  َ َ  ۡ ٓ َ
                     ۢ
                                ٰ
                ِللٱب نِمؤيو  ِ توغطلٱب رفكي نمف غلٱ نِم دشرلٱ ينبت دق نيِلدٱ  ِ ف هاركِإ ل
                   ِ
                                                                     ۖ
                                   ِ
                                                ۚ ِ
                                                                      ِ
                                               َ
                              ٌ  َ ٌ   َ ُ َّ َ َ َ َ    َ  َ ۡ ۡ ُ  َ ۡ ُ  ۡ  َ َ ۡ َ ۡ  َ َ
                                                          ٰ
                           ٢٥٦ ميِلع عيِمس للٱو ۗاهل ماصِفنٱ ل قثولٱ ِةورعلٱب كسمتسٱ ِدقف
                                                                      ِ
                Hakuna kulazimishwa (mtu kuingia) katika dini. Uongofu umekwisha
                pambanuka na upotofu.  Basi  anayemkataa  shetani na akamwamini
                Mwenyezi  Mungu, bila  shaka yeye  ameshika kishiko chenye  nguvu
                kisichokuwa  na kuvunjika. Na Mwenyezi  Mungu ni mwenye  kusikia
                mwenye kujua”. (Al-Baqara, 2: 256)
                                                  36
   41   42   43   44   45   46   47   48   49   50   51