Page 152 - Fasihi_Kisw_F5
P. 152

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari





                 7.   Chambua  vipengele  vya  ujumi  vilivyotumika  katika  mashairi  mawili
                     kutoka diwani teule.

                 8.   Waandishi wa tamthiliya wametumia mbinu za kiujumi kutunga kazi
          FOR ONLINE READING ONLY
                     zao. Jadili kauli hii kwa kutumia tamthiliya teule moja.

                 9.   Chambua vipengele vya ujumi katika tamthiliya ya Nguzo Mama.

                 10.  Fafanua vipengele vya kiujumi vilivyotumika katika nyimbo mbili za
                     taarabu.

























































                     Kitabu cha Mwanafunzi                                           141
                        Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   141                   23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   141
   147   148   149   150   151   152   153   154   155   156   157