Page 35 - Historiayatznamaadili
P. 35
FOR ONLINE READING ONLY
Kielelezo namba 4: Binti akijifunza stadi za ufinyanzi
Kwa baadhi ya maarifa, watu waliobobea katika stadi inayohusika,
walitafutwa ili kufundisha vijana stadi hizo. Watu hawa walifundisha
kwa muda maalumu uliotengwa na jamii. Kielelezo namba 5,
kinaonesha vijana wakiwa katika mafunzo ya kutengeneza zana
mbalimbali.
Kielelezo namba 5: Vijana wakifundishwa kutengeneza zana mbalimbali
28
06/11/2024 11:29:40
Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd 28
Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd 28 06/11/2024 11:29:40