Page 39 - Historiayatznamaadili
P. 39

Nyumba za msonge


                                Kazi ya kufanya namba 10

                           Soma matini kwenye mtandao na maktaba mtandao
          FOR ONLINE READING ONLY
                           kuhusu nyumba za msonge.



              Nyumba za msonge zina umbo la duara juu na chini.  Nyumba

              hizo hujengwa kwa nyasi chini au fito zilizokandikwa kwa udongo
              na kuezekwa juu kwa nyasi. Mfano wa nyumba hizo ni zile za jamii
              za Wachaga, Waha na Wahaya. Nyumba nyingine za msonge
              zilijengwa kwa miti pekee au miti na tope,  kisha  kuezekwa

              kwa miti na nyasi ngumu. Mfano wa  nyumba  hizo  ni  zile
              za jamii za Wanyakyusa na Wangoni. Kielelezo namba 6,
              7 na 8, vinaonesha mfano wa nyumba za msonge zilizojengwa
              kwa nyasi chini na kuezekwa juu kwa nyasi.



































                    Kielelezo namba 6: Nyumba ya msonge ya jamii ya Wachaga






                                                   32




                                                                                          06/11/2024   11:29:42
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   32
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   32                                     06/11/2024   11:29:42
   34   35   36   37   38   39   40   41   42   43   44