Page 34 - Historiayatznamaadili
P. 34

Mbinu za utoaji wa elimu


                                Kazi ya kufanya namba 7

                           Waulize wazazi au walezi kuhusu mbinu zilizotumika
          FOR ONLINE READING ONLY
                           kutoa elimu katika jamii inayowazunguka kabla ya
                           ukoloni.




              Mbinu ya vitendo ilitumika zaidi kufundishia. Wanajamii
              walielekezwa jinsi  ya kutenda wakati kazi zikifanyika. Kielelezo

              namba 3, kinaonesha vijana wakifundishwa maarifa na stadi
              katika shughuli za uvuvi.






























                      Kielelezo namba 3:  Vijana wakifundishwa kuvua samaki


              Pia, vijana walifundishwa kwa kushirikiana na wazazi wakifanya
              kazi pamoja. Hii ilisaidia kuwashirikisha vijana maarifa na stadi

              za jamii. Kielelezo namba 4, kinaonesha binti akijifunza stadi za
              ufinyanzi akishirikiana na mzazi.








                                                   27




                                                                                          06/11/2024   11:29:39
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   27
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   27                                     06/11/2024   11:29:39
   29   30   31   32   33   34   35   36   37   38   39