Page 42 - Historiayatznamaadili
P. 42

Vilevile,  kuna  nyumba  za  msonge  zilizojengwa  kwa  miti
              iliyokandikwa kwa tope lililochanganywa na udongo kidogo
              na kinyesi cha wanyama chini, na kuezekwa juu kwa majani.
              Nyumba hizo zilijengwa na jamii za Wamasai. Kielelezo namba
          FOR ONLINE READING ONLY
              11, kinaonesha mfano wa nyumba hizo.






























              Kielelezo namba 11:  Nyumba iliyojengwa kwa tope lenye udongo na
                                      kinyesi cha wanyama

                      Zoezi namba 2


                Chunguza picha za msonge katika kielelezo namba 5 hadi
                11, kisha:

                   1.  Eleza mfanano wa nyumba hizo.

                   2.  Eleza tofauti ya nyumba hizo.



                                Kazi ya kufanya namba 11

                           Fanya uchunguzi kwa kusoma matini au kutembelea
                           maeneo yenye nyumba za msonge, kisha andika
                           faida za nyumba za msonge.





                                                   35




     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   35
                                                                                          06/11/2024   11:29:45
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   35                                     06/11/2024   11:29:45
   37   38   39   40   41   42   43   44   45   46   47