Page 44 - Historiayatznamaadili
P. 44

FOR ONLINE READING ONLY















                    Kielelezo namba 14:  Nyumba ya tembe ya jamii za Wairaqw
                              iliyojengwa kwa miti na udongo chini na juu

                      Zoezi namba 3


                   1.  Eleza tofauti zilizopo kati ya nyumba za tembe na zile
                        za msonge.



              Nyumba za banda
              Nyumba za banda zina umbo la mstatili na zilijengwa kwa miti
              iliyokandikwa kwa udongo. Nyumba hizo ziliezekwa kwa miti na

              nyasi. Kielelezo namba 15,  kinaonesha mfano wa nyumba hizo.























                               Kielelezo namba 15:  Nyumba ya banda


                                                   37




                                                                                          06/11/2024   11:29:47
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   37
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   37                                     06/11/2024   11:29:47
   39   40   41   42   43   44   45   46   47   48   49