Page 48 - Historiayatznamaadili
P. 48

Msamiati


              Elimu            mfumo wa kurithisha maarifa na stadi kutoka kizazi
                               kimoja hadi kingine
          FOR ONLINE READING ONLY
              Fito             miti midogo mirefu mfano wa fimbo zilizosukwa
                               kwa kamba kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za asili

              Jando            mafunzo ya nadharia na vitendo kwa wavulana

                               kuhusu maisha, mila na desturi za jamii

              Misemo           mafungu ya maneno yanayotumiwa kwa ajili ya
                               kutoa maadili kwa jamii

              Ufinyanzi        ufundi wa kutengeneza vyombo vya udongo


              Ukoloni          mfumo wa Taifa moja kuvuka mipaka yake na
                               kutawala Taifa lingine kiuchumi, kisiasa na

                               kiutamaduni

              Unyago           mafunzo ya nadharia na vitendo kwa wasichana
                               kuhusu maisha, mila na desturi za jamii


              Vitendawili  semi zinazotolewa kwa njia ya fumbo lenye pande
                               mbili, upande mmoja ukiuliza na mwingine ukijibu


              Wakunga          watu waliotumika kutoa huduma za uzazi na
                               kuzalisha watoto























                                                   41




                                                                                          06/11/2024   11:29:48
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   41
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   41                                     06/11/2024   11:29:48
   43   44   45   46   47   48   49   50   51   52   53