Page 52 - Historiayatznamaadili
P. 52

FOR ONLINE READING ONLY











                        Kielelezo namba 2: Zana za Zama za Mawe za Kale

              Zama za Mawe za Kati

              Sayansi na teknolojia iliendelea kukua zaidi wakati wa Zama
              za Mawe za Kati. Binadamu alitengeneza zana bora zaidi na
              nyepesi zikilinganishwa na zile za Zama za Mawe za Kale. Zana

              za Zama za Mawe za Kati, zilikuwa bora na imara zaidi kwa ajili
              ya kufanyia kazi mahususi. Binadamu alibuni na kutengeneza
              kwa ustadi zana nyingi na tofauti kwa matumizi. Mfano, binadamu
              alitengeneza mishale, visu, mikuki na mashoka kwa kutumia

              mawe. Kielelezo namba 3, kinaonesha baadhi ya mifano ya
              zana za Zama za Mawe za Kati.

























                         Kielelezo namba 3: Zana za Zama za Mawe za Kati



                                                   45




                                                                                          06/11/2024   11:29:51
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   45                                     06/11/2024   11:29:51
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   45
   47   48   49   50   51   52   53   54   55   56   57