Page 55 - Historiayatznamaadili
P. 55

FOR ONLINE READING ONLY

















                       Kielelezo namba 5: Zana za Zama za Mawe za Mwisho

              Binadamu alianza kuwekea mipini baadhi ya zana za mawe
              kama vile mashoka, mikuki na mishale. Mipini iliwezesha zana

              kuwa imara zaidi katika utumiaji kulinganisha na hapo awali.
              Zana hizi zilileta maendeleo katika shughuli za kilimo na uwindaji.
              Pia, zana hizi zilitumika kutengenezea nguo za asili za magome
              ya miti na ngozi za wanyama. Magome ya miti yalipondwa na

              mawe ili kulainishwa hadi kupata nguo.

              Uthibitisho wa maendeleo ya sayansi na teknolojia za asili

              katika utengenezaji na matumizi ya zana hizo kipindi cha Zama
              za Mawe za Mwisho, unahusishwa na uwapo wa mabaki ya
              zana kama mawe ya kusagia nafaka, mitego ya wanyama
              na mabaki ya mifupa mikubwa ya wanyama kama tembo na
              twiga katika mapango walimoishi binadamu wa kipindi hicho.

              Inasadikiwa kwamba wanyama hao waliwindwa kwa kutumia
              zana zilizotumika katika kipindi hicho.


              Mchango wa sayansi na teknolojia asilia za Zama za Mawe
              Zana za mawe zilileta maendeleo kadhaa katika maisha ya






                                                   48




                                                                                          06/11/2024   11:29:52
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   48
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   48                                     06/11/2024   11:29:52
   50   51   52   53   54   55   56   57   58   59   60