Page 57 - Historiayatznamaadili
P. 57
Jedwali la 1, linaonesha hatua alizopitia binadamu katika Zama za Mawe.
Jedwali la 1: Hatua alizopitia binadamu katika Zama za mawe
Zama za Mawe za Kale Zama za Mawe za Kati Zama za Mawe za
FOR ONLINE READING ONLY
Mwisho
1. Binadamu aliishi kwa 1. Binadamu alianza 1. Binadamu
kuchimba mizizi kwa kutengeneza zana alitengeneza zana
mikono, kuokota za mawe za aina za mawe bora
matunda na kutafuta nyingi na bora zaidi zaidi na nyepesi,
wadudu. Pia, aliishi kulinganisha na zile za aina nyingi
kwa kuwinda ndege, za Zama za Mawe na kwa matumizi
wanyama na kuokota za Kale. mahususi.
mayai na mizoga.
2. Ugunduzi na 2. Wasanii na
2. Mwanzo wa historia ya utengenezaji wa mafundi walianza
sayansi na teknolojia moto ulianza na kutokea miongoni
za asili ya binadamu uliwezesha binadmu mwa wanajamii.
katika zama za mawe. kula vyakula
vilivyochomwa, na 3. Binadamu
3. Ubunifu katika kubanikwa. Pia, alianzisha makazi
kutengeneza na moto ulimsaidia ya kudumu.
kutumia zana za mawe kujihami dhidi ya Pia, alianza
ulisaidia kuchimba wanyama wakali na mgawanyo
mizizi kwa mawe na baridi kali. wa kazi kwa
kuwinda wanyama na kuzingatia jinsi,
ndege. 3. Binadamu aliweza umri na uwezo wa
kuwinda wanyama watu.
4. Maisha yalikuwa ya zaidi. Pia, alianza
kuhamahama kwa ajili kutengeneza 4. Binadamu
ya kutafuta chakula na mavazi kwa kutumia alianza kuwinda
makazi. Hapakuwa ngozi za wanyama wanyama
na makazi ya kudumu. zilizolainishwa. wakubwa zaidi
Binadamu aliishi porini kwa mishale
na mabondeni, karibu 4. Binadamu alianza ya sumu na
na mito akijitafutia kuishi katika kulima mazao ya
chakula. mapango. chakula.
50
06/11/2024 11:29:52
Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd 50 06/11/2024 11:29:52
Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd 50