Page 59 - Historiayatznamaadili
P. 59

FOR ONLINE READING ONLY




















                        Kielelezo namba 7: Utengenezaji wa zana za chuma

              Kielelezo namba 8, kinaonesha baadhi ya zana za awali zilizotengenezwa
              kwa chuma.













                       Jembe                      Shoka              Mundu







                                                                  Mkuki
                                   Jembe dogo

                       Kielelezo namba 8:  Baadhi ya zana za awali za chuma
              Wahunzi walitengeneza zana kama vile mashoka na mapanga

              kwa ajili ya kukatia nyama na kufanyia shughuli za ulinzi. Pia,
              yalitumika kukatia miti kwa ajili ya ujenzi na kuandaa shamba.
              Zana nyingine ni mikuki na mishale iliyotumika kwa ajili ya


                                                   52




                                                                                          06/11/2024   11:29:54
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   52                                     06/11/2024   11:29:54
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   52
   54   55   56   57   58   59   60   61   62   63   64