Page 64 - Historiayatznamaadili
P. 64

kisha kuzifunika nyasi hizo kwa udongo ili kutengeneza tuta.
              Mazao yalipandwa katika matuta. Sayansi na teknolojia hii
              ilisaidia kuzuia mmomonyoko wa udongo wakati wa mvua.
              Pia, maji yaliyokingwa katikati ya matuta yalitumika kuiweka
          FOR ONLINE READING ONLY
              ardhi katika hali ya unyevu kwa muda mrefu. Aina hii ya kilimo
              iliwezesha ardhi iliyopo maeneo ya milimani na miinuko kutumika
              kwa kilimo. Kielelezo namba 11, kinaonesha kilimo cha ngoro.





























                                Kielelezo namba 11: Kilimo cha ngoro
                                Kazi ya kufanya namba 5


                           Chunguza na andika uwepo wa sayansi na teknolojia
                           za asili zilizotumiwa katika kilimo katika maeneo
                           yanayokuzunguka.




              Maadili katika sayansi na teknolojia asilia katika kilimo

              Maadili ilikuwa sehemu ya sayansi na teknolojia ya asili
              katika kilimo. Mfano, jamii zilifanya kilimo cha msimu na cha
              kuhamahama hasa maeneo yenye mvua chache.  Maeneo

              yenye mvua kubwa na rutuba kama vile, kando kando ya milima,
              mito na kwenye mabonde kilifanyika kilimo cha kudumu. Watu



                                                   57




                                                                                          06/11/2024   11:29:54
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   57
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   57                                     06/11/2024   11:29:54
   59   60   61   62   63   64   65   66   67   68   69