Page 69 - Historiayatznamaadili
P. 69

Kazi ya kufanya namba 9

                           Jadili namna ya kuendeleza sayansi na teknolojia

                           za uvuvi kwa jamii za sasa.
          FOR ONLINE READING ONLY

                      Zoezi namba 3


                1.  Eleza tofauti ya sayansi na teknolojia za asili na za sasa
                      katika shughuli za uvuvi.

                2.  Bainisha faida za sayansi na teknolojia asilia katika uvuvi.


              Sayansi na teknolojia asilia ya ufinyanzi

              Sayansi na teknolojia ya ufinyanzi ilifanyika kwa kutumia udongo
              wa mfinyanzi. Jamii zilikuwa na maarifa na ujuzi wa kutambua
              udongo unaofaa na usiofaa kwa ajili ya shughuli za ufinyanzi.
              Sayansi na teknolojia ya ufinyanzi ilifanyika kwa kutumia udongo
              wenye asili ya mfinyanzi. Udongo huo ulichanganywa na maji,
              kisha  kuufinyanga  kwa  kuufinyafinya  kwa  lengo  la  kuunda

              chombo chenye umbo fulani. Mfano wa vyombo vilivyofinyangwa
              ni: mitungi, vyungu, bakuli na kadhalika. Kielelezo namba 14,
              kinaonesha sayansi na teknolojia ya ufinyanzi.




























                       Kielelezo namba 14: Sayansi na teknolojia ya ufinyanzi

                                                   62




                                                                                          06/11/2024   11:29:58
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   62
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   62                                     06/11/2024   11:29:58
   64   65   66   67   68   69   70   71   72   73   74