Page 71 - Historiayatznamaadili
P. 71

Kielelezo namba 17, kinaonesha mfano wa chungu kilichochomwa
              baada ya kufinyangwa.




          FOR ONLINE READING ONLY

















                Kielelezo namba 17: Chungu kilichochomwa baada ya kufinyangwa

              Kielelezo namba 18, kinaonesha vyungu vilivyochorwa mapambo
              mbalimbali.



























                  Kielelezo namba 18: Vyungu vilivyochorwa mapambo mbalimbali

              Sayansi na teknolojia ya asili katika ufinyanzi, ilizisaidia jamii za
              kale kuwa na vifaa mbalimbali kwa matumizi ya nyumbani na

              biashara. Kwa mfano, vyungu vilitumika kupikia chakula. Pia,
              sahani na bakuli zilitumika kulia chakula na mitungi ilitumika




                                                   64




                                                                                          06/11/2024   11:30:00
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   64                                     06/11/2024   11:30:00
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   64
   66   67   68   69   70   71   72   73   74   75   76