Page 73 - Historiayatznamaadili
P. 73

kisha kusukwa.  Mfano, wa vitu vilivyotengenezwa ni nyungo,
              matenga, madema, viti na vikapu. Kielelezo namba 20, kinaonesha
              sayansi na teknolojia ya ususi kwa kutumia mianzi.


          FOR ONLINE READING ONLY



























              Kielelezo namba 20: Sayansi na teknolojia ya ususi kwa kutumia mianzi

              Matenga na vikapu vilivyosukwa na mianzi vilitumika kubebea
              na kuhifadhia bidhaa mbalimbali. Vilevile, jamii zilifanya ususi

              wa vitu mbalimbali kwa kutumia ukili na miwaa. Kielelezo namba
              21, kinaonesha picha ya muwaa na bidhaa mbalimbali za ususi.




















                         Picha ya muwaa                      Bidhaa mbalimbali za ususi

                Kielelezo namba 21: Picha ya muwaa na bidhaa mbalimbali za ususi



                                                   66




                                                                                          06/11/2024   11:30:03
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   66                                     06/11/2024   11:30:03
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   66
   68   69   70   71   72   73   74   75   76   77   78