Page 70 - Historiayatznamaadili
P. 70

Vyombo vilivyofinyangwa vilikaushwa kivulini au kuchomwa
              kwa moto mkali wa kuni ili viwe vigumu. Vyombo vya mfinyanzi
              vilivyochomwa vilipoozwa kwa maji ya baridi. Baadhi ya
              wafinyanzi walivipamba vyungu kwa kuvichora kwa mapambo ya
          FOR ONLINE READING ONLY
              rangi vikiwa vibichi na wengine walivipamba baada ya kukauka.
              Kwa mfano, jamii ya Wafipa na Wakisi walipamba vyungu baada
              ya kukauka. Kielelezo namba 15, kinaonesha baadhi ya vyombo
              vya mfinyanzi.



















               Kielelezo namba 15: Vitu vilivyofinyangwa katika maumbo mbalimbali

              Kielelezo  namba  16,  kinaonesha  mfano  wa  chungu

              kilichofinyangwa na kukaushwa kivulini.




























                          Kielelezo namba 16: Chungu kikikaushwa kivulini



                                                   63




                                                                                          06/11/2024   11:29:59
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   63                                     06/11/2024   11:29:59
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   63
   65   66   67   68   69   70   71   72   73   74   75