Page 32 - SayansiStd4
P. 32

(a)  husaidia kujua bei ya bidhaa
                    (b)  Kulinda afya zetu

                    (c)  kusababisha matatizo ya kiafya

                    (d)  Kukuza umakini kuhusu mazingira
          FOR ONLINE READING ONLY
               2.  Neno lipi kati ya yafuatayo linamaanisha ukomo wa ubora

                     wa bidhaa zilizohifadhiwa?

                    (a)  kuoza

                    (b)  kuchacha
                    (c)  kuganda

                    (d)  kuchotora


               3.  Mlo kamili ni mlo wenye________.

                    (a)  virutubisho vinavyotupa nguvu


                    (b)  matunda ya kutosha

                    (c)  uwiano sahihi wa virutubisho

                    (d)  vitamini za kutosha


               4.  Virutubisho vipi kati ya vifuatavyo huupa mwili nguvu?

                    (a)  Protini

                    (b)  Madini


                    (c)  Vitamini

                    (d)  Kabohaidreti

               5.  Matumizi ya vitu vilivyochotora husababisha ______.


                    (a)  athari za kiafya

                    (b)  kuboresha usalama






                                                   25




                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   25
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   25                                   14/01/2025   18:39
   27   28   29   30   31   32   33   34   35   36   37