Page 38 - SayansiStd4
P. 38

Korona (UVIKO-19). Baadhi ya magonjwa yanayoambukiza ni
              kama yafuatayo:


              Malaria
          FOR ONLINE READING ONLY
              Malaria ni ugonjwa  unaosababishwa  na vimelea viitwavyo
              plasmodium. Ugonjwa huu huenezwa na mbu jike anayeitwa
              anofelesi. Mbu huyo huambukiza malaria kwa kuingiza vimelea
              vya  ugonjwa  mwilini  anapomuuma  mtu.  Kielelezo namba 1

              kinaonesha uenezwaji wa ugonjwa wa malaria.


                   Mtoto akiambukizwa
                          malaria







                                                                       Mtu mzima
                                                                       akiambukizwa

                                                                       malaria








                                      Mtu mwenye

                                 maambukizi ya malaria

                       Kielelezo namba 1: Uenezwaji wa ugonjwa wa malaria


              Dalili za malaria

              Miongoni mwa dalili za ugonjwa wa malaria ni kama vile:

              (a)  Homa kali inayoambatana na kupanda kwa joto mwilini;


              (b)  Kuhisi baridi na kutetemeka mwili;

              (c)  Kuumwa kichwa;




                                                   31




                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   31                                   14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   31
   33   34   35   36   37   38   39   40   41   42   43