Page 69 - SayansiStd4
P. 69

(a)  ugiligili


                     (b)  mvuke

                     (c)  barafu
          FOR ONLINE READING ONLY
                     (d)  gesi


               2.  Hali ya maada ambayo ina ujazo na umbo maalumu
                     huitwa _____.


                     (a)  yabisi

                     (b)  kimiminika

                     (c)  plasma


                     (d)  gesi

               3.  Maji yanaweza kuwa katika hali tatu za maada ambazo
                     ni _____.


                     (a)  yabisi, gesi na jiwe

                     (b)  yabisi, barafu na gesi

                     (c)  jiwe, hewa na barafu


                     (d)  yabisi, kimiminika na gesi

               4.  Kiwango  cha jotoridi  la nyuzijoto  sentigredi  100  au
                     nyuzijoto  farenhaiti  212 katika tabia ya maji huitwa
                     _____.


                     (a)  kizingiti cha mgando wa maji


                     (b)  kizingiti cha mchemko wa maji

                     (c)  kizingiti cha myeyuko wa maji

                     (d)  kizingiti cha mvuke wa maji






                                                   62



                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   62                                   14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   62
   64   65   66   67   68   69   70   71   72   73   74