Page 79 - SayansiStd4
P. 79

FOR ONLINE READING ONLY













                               Kielelezo namba 2: Shughuli za mapishi
              (b)  Kwa shughuli mbalimbali za viwandani ikiwemo uyeyushaji

                   wa chuma na kutengeneza  bidhaa  kama vile nondo  na
                   plastiki. Moto pia hutumika katika usafishaji wa dhahabu;

              (c)  Husaidia  katika kukausha na uhifadhi wa vyakula au
                   mazao; na


              (d)  Hutusaidia  kupata joto katika mazingira yenye baridi.
                   Mfano, kuota moto wakati wa baridi. Kielelezo namba 3
                   kinaonesha mtu akiota moto.




























                                 Kielelezo namba 3: Mtu akiota moto



                                                   72



                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   72
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   72                                   14/01/2025   18:39
   74   75   76   77   78   79   80   81   82   83   84