Page 82 - SayansiStd4
P. 82
(a) Mchakato wa vitu kuganda
(b) Mchakato wa vitu kuharibika
(c) Mchakato wa vitu kubadilika na kuwa majimaji
FOR ONLINE READING ONLY
(d) Mchakato wa fueli kuungana na gesi ya oksijeni na
kutoa joto na mwanga
2. Nini kinachohitajika ili uunguaji utokee?
(a) Oksijeni, maji, na mwanga
(b) Mafuta, maji, na oksijeni
(c) Fueli, joto, na oksijeni
(d) Maji, joto, na oksijeni
3. Nini kazi ya oksijeni katika mchakato wa uunguaji wa
vitu?
(a) Kutoa joto
(b) Kuzuia moto
(c) Kuchochea moto kuwaka
(d) Kubadilisha moto kuwa maji
4. Nini hutokea wakati wa uunguaji wa vitu?
(a) Vitu hubadilika kuwa baridi
(b) Vitu hupoteza tabia yake asilia
(c) Vitu vinatoa nishati ya baridi
(d) Vitu vinabaki kama vilivyo
Sehemu B: Andika KWELI kwa sentensi sahihi, na SI KWELI
kwa sentensi isiyo sahihi.
5. Uunguaji wa vitu huweza kutusaidia kupiga pasi nguo
zetu.
75
14/01/2025 18:39
SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd 75 14/01/2025 18:39
SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd 75