Page 11 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 11

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


                  mwanafunzi  anashiriki  kikamilifu  katika  majadiliano  pamoja
                  na kuandika nukuu ya kile wanachokijadili.

             (ii)  Waongoze wanafunzi katika kufanya matembezi msambao kwa
                  lengo la kupeana maarifa waliyoyajadili katika vikundi vyao ili
           FOR ONLINE READING ONLY
                  kupata maarifa mapya. Katika kila kikundi abaki mwanafunzi
                  mmoja ili awaelekeze wanafunzi watakaotoka katika vikundi
                  vingine. Baada ya matembezi hayo, wanafunzi warudi katika
                  vikundi vyao vya awali na kupeana maarifa mapya. Rekebisha
                  dosari zinazojitokeza katika majadiliano yao.
             (iii)  Hitimisha na kutoa mrejesho kuhusiana na shughuli husika.

             (iv)  Waongoze  kufanya  maswali  ya  tamrini  yaliyomo kwenye
                  Kitabu cha Mwanafunzi.

             (v)  Kusanya kazi zao, kisha sahihisha na kutoa mrejesho.

           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 1.6 yatatokana  na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi aeleze kwa mifano ubora na udhaifu
           unaojitokeza katika nadharia za chimbuko la fasihi.

           Majibu ya maswali ya tamrini yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
























                 Kiongozi cha Mwalimu                                     5
                    Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   5     23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   5
   6   7   8   9   10   11   12   13   14   15   16