Page 25 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 25

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


             (iii)  Waelekeze  wanafunzi  kufanya  maswali  ya  tamrini  yaliyomo
                  kwenye  Kitabu  cha  Mwanafunzi.  Sahihisha  kazi  zao  na  toa
                  mrejesho.

           Majibu
           FOR ONLINE READING ONLY
           Majibu  ya  shughuli  ya  2.20  yatatokana  na  uelewa  wa  mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi aeleze mchango wa fasihi simulizi na
           fasihi andishi katika maendeleo ya jamii. Pia, mwanafunzi abainishe
           uhusiano uliopo kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi.
















































                 Kiongozi cha Mwalimu                                    19
                    Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   19    23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   19
   20   21   22   23   24   25   26   27   28   29   30