Page 29 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 29

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


           Majibu
           Majibu ya shughuli ya 3.2(b) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi achambue uhusiano uliopo
           kwenye vipengele vya fani na maudhui kwa kutumia mifano ya kazi
           FOR ONLINE READING ONLY
           aliyoichambua.



             Somo la 3:  Umuhimu wa vipengele vya fani na maudhui katika
                        kazi za fasihi

           Shughuli ya 3.3

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze wanafunzi kukaa katika vikundi na kujadili
                  shughuli ya 3.3 iliyomo  kwenye Kitabu cha Mwanafunzi,
                  kisha wawasilishe darasani kwa mjadala  zaidi. Hakikisha
                  kila mwanafunzi anashiriki  kwa kuchangia  hoja wakati  wa
                  uwasilishaji.

             (ii)  Washirikishe wanafunzi kurekebisha upungufu unaojitokeza
                  wakati wa uwasilishaji ili kuleta uelewa wa pamoja.

                  Majibu

                  Majibu ya shughuli ya 3.3 yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
                  Katika shughuli hii, mwanafunzi aeleze kwa mifano umuhimu
                  wa fani na maudhui katika kazi fasihi.

             (iii)  Waongoze wanafunzi kukaa katika jozi na kufanya zoezi la 3.1
                  lililomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi, kisha kusanya kazi
                  zao, sahihisha na toa mrejesho wa kazi zao.

           Majibu

           Majibu ya zoezi la 3.1 yatatokana na uelewa wa mwanafunzi. Mwalimu
           zingatia  namna mwanafunzi anavyohusisha maarifa na maisha  ya


                 Kiongozi cha Mwalimu                                    23
                    Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   23    23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   23
   24   25   26   27   28   29   30   31   32   33   34