Page 32 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 32

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


             (iii)  Waongoze  wanafunzi  kurekebisha  upungufu unaojitokeza
                  wakati wa uwasilishaji.

           Majibu

           FOR ONLINE READING ONLY
           Majibu ya shughuli ya 3.6 yatatokana  na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi aeleze maana na misingi ya nadharia
           ya umuundo katika kuhakiki kazi ya kifasihi.

           Shughuli ya 3.7

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze wanafunzi kuchunguza ramani ya dhana kuhusiana
                  na nadharia ya umaksi, kisha kwa njia ya maswali na majibu,
                  wafafanue maana na misingi ya nadharia hiyo.

             (ii)  Rekebisha upungufu unaojitokeza katika majibu yao.

           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 3.7 yatatokana  na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi aeleze maana na misingi ya nadharia
           ya umaksi katika kuhakiki kazi za kifasihi.

           Shughuli ya 3.8

           Hatua za ufundishaji
             (i)   Waongoze wanafunzi kukaa katika vikundi na kujadili shughuli
                  ya 3.8 iliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi, kisha kufanya
                  uwasilishaji, hakikisha kila mwanafunzi anashiriki katika
                  uwasilishaji.  Rekebisha  upungufu unaojitokeza  wakati  wa
                  uwasilishaji.
           Majibu


           Majibu ya shughuli ya 3.8 yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi aeleze maana na misingi ya nadharia
           ya ufeministi katika kuhakiki kazi za fasihi.


             26                                        Kiongozi cha Mwalimu
                                                          Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   26
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   26    23/06/2024   17:48
   27   28   29   30   31   32   33   34   35   36   37