Page 37 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 37

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


           Shughuli ya 3.15 (b)
           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze  wanafunzi  kughani  au kusoma shairi lililopo
           FOR ONLINE READING ONLY
                  kwenye shughuli ya 3.15(b), kisha kufanya shughuli binafsi ya
                  3.15 (b) iliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi. Hakikisha
                  kila  mwanafunzi  anashiriki  kikamilifu  na kuchukua nukuu.
                  Kusanya kazi zao, sahihisha na kutoa mrejesho kwa wakati.

           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 3.15 (b) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli 3.15 (b), mwanafunzi ahakiki shairi kwa kutumia
           nadharia ya ufeministi kwa kuongozwa na maswali yaliyotolewa


           Shughuli ya 3.16

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze wanafunzi kusoma matini fupi ya tamthiliya iliyomo
                  katika shughuli ya 3.16 iliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi
                  huku wakiandika dondoo muhimu, kisha kufanya uwasilishaji.
                  Hakikisha kila mwanafunzi anashiriki katika uwasilishaji.

             (ii)  Waongoze  wanafunzi  kuhusianisha  misingi  ya  nadharia  ya
                  umaksi na dondoo mbalimbali  walizozichukua  wakati wa
                  uchambuzi wa matini hiyo.

             (iii)  Rekebisha upungufu unaojitokeza katika majibu watakayoyatoa.

           Majibu

           Majibu  ya  shughuli  ya  3.16  yatatokana  na  uelewa  wa  mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi atachambua matini fupi ya tamthiliya
           kwa kutumia misingi ya nadharia ya umaksi.







                 Kiongozi cha Mwalimu                                    31
                    Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   31    23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   31
   32   33   34   35   36   37   38   39   40   41   42